Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw.Mick Kiliba akimkaribisha Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.George Simbachawene katika banda la ofisi hiyo viwanja vya Chinangali jijini Dodoma kwenye Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma.
Apr 09, 2025
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na Menejimenti ya Sekretarieti ya Ajira mara baada ya kufungua Kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi hiyo mkoani Morogoro.Waziri Simbachawene aliambatana na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe.Adam Malima (Wa pili kushoto waliokaa).
Jan 11, 2025
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene akitoa taarifa ya kufanyika kwa usaili wa kada za ualimu nchi nzima kuanzia tarehe 14 Januari hadi tarehe 24 Februari,2025 ili kupata walimu bora kwa manufaa ya taifa.
Jan 11, 2025
Katibu wa Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw.Mick Kiliba (wa katikati) akifuatilia hotuba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma.
Jan 11, 2025
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene akitoa taarifa ya kufanyika kwa usaili wa kada za ualimu nchi nzima kuanzia tarehe 14 Januari hadi tarehe 24 Februari,2025 ili kupata walimu bora kwa manufaa ya taifa.
Dec 21, 2024
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Deus Clement Sangu (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na Menejimenti ya Sekretarieti ya Ajira mara baada ya kufunga Kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi hiyo jijini Arusha.
Oct 21, 2024
Watumishi wapya wa Kada za Afya wakichukua Barua zao za kuitwa kazini katika ofisi za Sekretarieti ya Ajira
Oct 07, 2024
Katibu wa Ofisi ya Rais,Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anatoa pole kwa familia, watumishi, ndugu, jamaa na marafiki kwa kuondokewa na mtumishi Ibrahim Amiri aliyefariki kwa ajali ya gari.
Aug 22, 2024
Karibu Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deus Clement Sangu katika Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
Aug 22, 2024
Naibu Katibu Idara ya TEHAMA Mhandisi Samwel Tanguye akimpokea Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deus Clement Sangu alipotembelea Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma eneo la Asha Rose Migiro (UDOM) Jijini Dodoma ili kujitambulisha na kuona namna taasisi hii inavyofanya kazi.
Aug 22, 2024
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deus Clement Sangu akisalimiana na Kaimu Katibu Msaidizi Idara ya Ajira alipotembelea ofisi hizo jijini Dodoma
Aug 22, 2024
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deus Clement Sangu akiwa kwenye picha ya pamoja na Menejimenti ya Sekretarieti ya Ajira
Aug 22, 2024
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deus Clement Sangu akizungumza na Menejimenti ya Sekretarieti ya Ajira alipotembelea ofisi hiyo jijini Dodoma
Aug 08, 2024
HERI YA SIKUKUU YA WAKULIMA NANENANE
Aug 07, 2024
KARIBU SANA TUKUHUDUMIE KATIKA VIWANJA VYA NANENANE DODOMA
Aug 07, 2024
Watu mbalimbali wakiendelea kupata elimu katika viwanja vya Nanenane - Dodoma
Jul 20, 2024
Huduma zikiendelea kutolewa kwenye Viwanja vya Maisara Zanzibar
Jul 17, 2024
Makamu wa pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla akimsikiliza mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Bibi Lynn Chawala alipotembelea banda lao la Maonesho katika viwanja vya Maisara - Zanzibar
Jul 14, 2024
Katibu Msaidizi upande wa Mifumo ya TEHAMA Bw.Musa Mselem akitoa mafunzo ya Mfumo wa Ajiraportal katika Chuo cha Mtakatifu John kilichopo jijini Dodoma
Jul 14, 2024
Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu John wakipatiwa mafunzo ya Kujiunga na Mfumo wa Ajiraportal katika Chuo hicho jijini Dodoma
Jul 07, 2024
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Deogratius Ndejembi ametembelea banda la Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma na kujionea huduma mbalimbali zinazotolewa kwa wadau katika Maonesho ya Sabasaba jijini Dar es Salaam.
Jul 04, 2024
Karibu utembelee banda letu kwenye maonesho ya 48 ya biashara ya kimataifa(Sabasaba) jijini Dar es salaam
Jun 23, 2024
Mkuu wa Idara ya TEHAMA Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Mhandisi Samwel Tanguye ametembelea banda la ofisi hiyo katika kilele cha Wiki ya Utumishi wa Umma
Jun 21, 2024
Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.Ridhiwani Kikwete ametembelea banda la sekretarieti ya Ajira katika maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma jijini Dodoma
Jun 21, 2024
Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.Ridhiwani Kikwete pamoja na Katibu Mkuu Utumishi wa Umma Bw. Juma Mkomi wametembelea banda la Sekretarieti ya Ajira katika Wiki ya Utumishi wa Umma jijini Dodoma
Jun 21, 2024
Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.Ridhiwani Kikwete pamoja na Katibu Mkuu Utumishi wa Umma Bw. Juma Mkomi wametembelea banda la Sekretarieti ya Ajira katika Wiki ya Utumishi wa Umma jijini Dodoma
Jun 21, 2024
Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.Ridhiwani Kikwete pamoja na Katibu Mkuu Utumishi wa Umma Bw. Juma Mkomi wametembelea banda la Sekretarieti ya Ajira katika Wiki ya Utumishi wa Umma jijini Dodoma
Jun 20, 2024
Wajumbe wa Kamati ya Ukaguzi ya Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wakiwa katika picha ya pamoja.
Jun 19, 2024
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya utumishi wa umma na utawala bora Bw.Xavier Daudi ametembelea banda la Sekretarieti ya Ajira katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma jijini Dodoma
Jun 19, 2024
Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma katika Viwanja vya Chinangali jijini Dodoma
Jun 04, 2024
Kaimu Katibu Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma akifungua mafunzo ya Saikolojia kwa Watumishi wa Ofisi hiyo mkoani Iringa
Jun 04, 2024
Dkt.Mustapha Almasi kutoka Chuo Kikuu Mzumbe akiendesha mafunzo ya Saikolojia kwa Watumishi wa Sekretarieti ya Ajira mkoani Iringa
Jun 04, 2024
Baadhi ya Watumishi wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wakifuatilia kwa makini mafunzo ya Saikolojia mkoani Iringa
Jun 04, 2024
Kaimu Katibu Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Viongozi wa Sekretarieti ya Ajira walioshiriki kwenye mafunzo hayo mkoani Iringa
Jun 04, 2024
Kaimu Katibu Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma akiwa kwenye picha ya pamoja na Watumishi walioshiriki mafunzo hayo mkoani Iringa
Jun 04, 2024
Kaimu Katibu Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma akiwa kwenye picha ya pamoja na Watumishi walioshiriki mafunzo hayo mkoani Iringa
May 30, 2024
Karibu katika banda la Ofisi ya Rais,Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwenye Viwanja vya shule ya Sekondari Popatlal jijini Tanga kwenye maadhimisho ya wiki ya Kitaifa ya Elimu,Ujuzi na Ubunifu ambapo elimu kuhusu uendeshaji wa mchakato wa ajira pamoja na ufanyaji wa usaili kidigitali inaendelea kutolewa.
May 01, 2024
Watumishi wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wakiwa kwenye Maadhimisho ya Sikukuu ya Wafanyakazi Duniani jijini Dodoma
May 01, 2024
Heri ya Siku ya Wafanyakazi Duniani
Apr 24, 2024
Sekretarieti ya Ajira imeweza kuendesha Usaili wa kuandika Kidigitali katika Mikoa, Wilaya na Kata
Apr 22, 2024
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene akiwa kwenye picha ya pamoja na Wajumbe wa TUGHE tawi la Sekretarieti ya Ajira mjini Morogoro
Apr 22, 2024
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene akiwa kwenye picha ya pamoja na Wajumbe wa baraza la Wafanyakazi wa Sekretarieti ya Ajira mjini Morogoro
Apr 22, 2024
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene akiwa kwenye picha ya pamoja na wawakilishi wa idara na Vitengo katika baraza la Wafanyakazi mjini Morogoro
Apr 22, 2024
Waziri wa Nchi Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene akizungumza na Baraza la Wafanyakazi wa Sekretarieti ya Ajira mjini Morogoro
Apr 22, 2024
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.George Simbachawene akitoa hotuba yake mbele ya Baraza la Wafanyakazi wa Sekretarieti ya Ajira katika ukumbi wa Mzinga mjini Morogoro
Apr 22, 2024
Kaimu Katibu Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma akisoma hotuba yake katika Baraza la Wafanyakazi wa Sekretarieti ya Ajira mjini Morogoro
Apr 07, 2024
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.George Simbachawene pamoja na Kaimu Katibu Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wakishuhudia msailiwa akifanya usaili wa njia ya kidigitali mkoani Manyara
Apr 07, 2024
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene pamoja na Kaimu Katibu Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Innocent Bomani wakiwa kwenye chumba cha kufanyia usaili wa kuandika kwa njia ya Kidigitali katika kituo cha VETA Manyara
Apr 07, 2024
Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.Ridhiwani Kikwete akishuhudia usaili wa kuandika kwa njia ya Kidigitali ukifanyika jijini Dar es Salaam
Apr 07, 2024
Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete (kushoto) akiwa pamoja na Mkuu wa Idara ya TEHAMA Bw.Samwel Tanguye wakiingia kwenye chuma cha kufanyia usaili wa kuandika kwa njia ya Kidigitali katika Chuo cha St.Joseph jijini Dar es Salaam
Apr 05, 2024
Unapokuja kwenye Usaili tafadhali beba Vyeti vyako vyote halisi na Kitambulisho kwa ajili ya Utambuzi
Apr 03, 2024
Mwenyekiti wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bi. Sophia Kaduma akimkaribisha Mjumbe mpya wa Sekretarieti ya Ajira Bw.Abdi Faki (Mwakilishi wa Zanzibar) kwenye kikao cha Wajumbe wa ofisi hiyo katika ukumbi wa Tume ya Uchaguzi jijini Dodoma
Apr 03, 2024
Kaimu Katibu Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw.Innocent Bomani akizungumza na Mwenyekiti wa Sekretarieti ya Ajira Bi.Sophia Kaduma katika kikao cha Wajumbe wa Ofisi hiyo
Apr 03, 2024
Kikao cha Wajumbe wa Sekretarieti ya Ajira kikiendelea jijini Dodoma
Apr 03, 2024
Wakuu wa Idara na Vitengo wakiwa kwenye kikao cha Wajumbe wa Sekretarieti ya Ajira katika Ukumbi wa Tume ya Uchaguzi jijini Dodoma
Mar 31, 2024
Heri ya Pasaka
Mar 26, 2024
Kaimu Katibu Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw.Innocent Bomani (katikati) akizungumza na Watumishi katika mafunzo ya Mfumo wa Kutathmini utendaji kazi kwa watumishi wa Umma
Mar 26, 2024
Kaimu Katibu wa Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Innocent Bomani akifungua mafunzo maalum ya mfumo wa kutathmini utendaji kazi wa watumishi wa umma PEPMIS kwa watumishi wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira. katika Utumishi wa Umma
Mar 25, 2024
Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene akizungumza na wadau kwenye kikao kazi kuhusu mfumo wa usaili kidigitali jijini Dodoma
Mar 25, 2024
Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene akiwa kwenye picha ya pamoja na Menejimenti ya Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
Mar 25, 2024
Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Watumishi wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
Mar 25, 2024
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene (katikati) akifuatilia kikao kazi cha wadau wa Ajira akiwa pamoja na Kaimu Katibu Sekretarieti ya Ajira Bw.Innocent Bomani (kulia) .pamoja na Mkuu wa Idara ya TEHAMA Mhandisi Samwel Tanguye
Mar 22, 2024
Jengo la Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma lililopo Dodoma linalotarajiwa kukamilika na kuanza kutumika ndani ya Mwaka huu 2024 na watumishi wa Ofisi hiyo
Mar 19, 2024
Tunakupongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kufikisha miaka 3 ya Uongozi wako wenye mafanikio makubwa.
Mar 01, 2024
Pumzika kwa amani Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili, Alhaji Ali Hassan Mwinyi
Feb 13, 2024
Mwenyekiti wa Kamati ya Ukaguzi wa Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, Bw. Mathias Abisai (kulia) ameiongoza kamati hiyo kufanya ukaguzi wa ujenzi wa jengo la taasisi hiyo unaoendelea jijini Dodoma
Feb 05, 2024
Poleni sana kwa Msiba, Bwana ametoa na Bwana ametwaa, Jina la Bwana lihimidiwe. Amen
Feb 02, 2024
Menejimenti ya Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma ikiwa katika kikao na Msimamizi wa mali za Serikali Mkoa wa Dodoma
Jan 27, 2024
Happy Birthday Rais Samia Suluhu Hassan
Jan 22, 2024
Mkuu wa Kitengo cha Mipango, Ufuatiliaji na Tathmini Bw. Joachim Nyanda akitoa mafunzo kwa Maafisa bajeti wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma namna ya kuandaa Mpango na Bajeti ya Taasisi kwa mwaka wa fedha 2024/2025 mjini Morogoro.
Jan 16, 2024
Ujenzi wa Jengo la Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma unaendelea na unatarajiwa kukamilika ndani ya mwaka huu wa fedha 2023/2024.
Jan 16, 2024
Mwenyekiti wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa umma Bi. Sophia Kaduma (katikati) akikagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la Ofisi Jijini Dodoma
Dec 25, 2023
Heri ya Mwaka mpya 2024
Dec 21, 2023
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete akiwa kwenye picha ya pamoja na Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma katika Hoteli ya Morena mkoani Morogoro
Dec 21, 2023
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete akiwa kwenye picha ya pamoja na Wawakilishi wa Idara na Vitengo wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
Dec 21, 2023
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete akiwa kwenye picha ya pamoja na Washiriki wa Baraza la Wafanyakazi katika Hotel ya Morena mkoani Morogoro
Dec 21, 2023
Kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kikiendelea mjini Morogoro
Dec 21, 2023
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete akiwa kwenye picha ya pamoja na Menejimenti ya Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
Dec 21, 2023
Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw.Innocent Bomani akizungumza wakati wa kikao cha Baraza la Wafanyakazi mjini Morogoro
Sep 07, 2023
Watumishi wapya wa Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa umma wakiwa katika picha ya pamoja na Wakufunzi kutoka chuo cha Utumishi wa Umma, baada ya mafunzo elekezi yaliyofanyika katika Ukumbi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi - Dodoma
Sep 07, 2023
Watumishi wapya wa Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wakipatiwa mafunzo elekezi kwa kushirikisha wataalamu kutoka Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira na Chuo cha Utumishi wa Umma
Aug 04, 2023
Wadau wa Ajira wakiwa kwenye picha ya pamoja jijini Dodoma
Aug 04, 2023
Wadau wa Ajira wakiwa kwenye mkutano wa kukusanya maoni ya kuboresha sheria za uendeshaji wa mchakato wa Ajira jijini Dodoma
Jul 29, 2023
Wasailiwa wakisikiliza maelekezo ya jumla kutoka kwa Afisa wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kabla ya kuanza usaili wa kuandika jijini Dar es Salaam
Jul 20, 2023
Wasailiwa wakisikiliza maelekezo ya jumla kutoka kwa Afisa wa Sekretarieti ya Ajira kabla ya kuanza usaili wa mahojiano jijini Mwanza
Jul 12, 2023
Bw. Jutoram Kabatele akipokea huduma katika Banda letu la Maonesho ya Sabasaba Mkoani Dar es Salaam
Jul 11, 2023
Huduma zinaendelea kutolewa katika Viwanja vya Maonesho ya Sabasaba - Dar es Salaam. Karibu sana tukuhudumie
Jul 09, 2023
Wateja wakiendelea kupata huduma katika banda la Maonesho ya Sabasaba ndani ya Jakaya Mrisho Kikwete "Tent"
Jul 09, 2023
Karibu sana katika Banda letu la Maonesho ya Sabasaba - Dar es Salaam. NJOO TUKUHUDUMIE
Jul 04, 2023
Karibu sana tukuhudumie katika viwanja vya Sabasaba - Dar Es Salaam, Banda la Jakaya Kikwete
Jul 04, 2023
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Hassan O. Kitenge anatoa pole kwa Ndugu, Jamaa na Marafiki wa marehemu. Bwana ametoa na Bwana ametwaa, Jina la Bwana lihimidiwe
Jun 30, 2023
Maafisa bajeti Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wakiwa kwenye kikao kazi jijini Dodoma.
Jun 28, 2023
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Boniface Simbachawene akikaribishwa na watumishi wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
Jun 28, 2023
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Hassan O. Kitenge akifafanua jambo katika kikao na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George B. Simbachawene alipotembelea Ofisi ya Rais Sekreterieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma na kuongea na Menejimenti
Jun 28, 2023
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George B. Simbachawene (katikati) akifuatiwa na Naibu Waziri Mhe. Ridhiwani Kikwete (kulia) wakiwa na Wakuu wa Idara na Vitengo wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
Jun 28, 2023
Watumishi wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wakiwa tayari kutoa huduma kwa jamii
Jun 23, 2023
Waziri wa Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.George Simbachawene akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Viongozi wa Taasisi za Umma.
Jun 23, 2023
Waziri wa Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene akitoa hotuba katika Uzinduzi wa Mikataba ya Huduma kwa mteja jijini Dodoma
Jun 23, 2023
Waziri wa Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.George Simbachawene akiwa na Viongozi wa Taasisi za Umma baada ya Uzinduzi wa Mikataba ya Huduma kwa mteja jijini Dodoma
Jun 23, 2023
Aliyekuwa Katibu wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw.Hassan Kitenge (wa nne kushoto) akipokea Mkataba wa huduma kwa mteja baada ya uzinduzi.
Jun 23, 2023
Baadhi ya Watumishi kutoka Taasisi mbalimbali za Umma wakifuatilia hotuba ya uzinduzi wa Mikataba ya Huduma kwa mteja iliyowasilishwa na Waziri wa Utumishi Mhe. George Simbachawene jijini Dodoma
May 01, 2023
Meimosi 2023 Kitaifa mkoani Morogoro
May 01, 2023
Watumishi wa Sekretarieti ya Ajira wakiwa kwenye Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei mosi 2023 mkoani Dodoma
May 01, 2023
Aliyekuwa Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Bw. Hassan O Kitenge (watano kushoto) akiwa kwenye picha ya pamoja na Watumishi katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Kitaifa mkoani Morogoro
May 01, 2023
Watumishi wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wakiwa kwenye Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani mei mosi 2023 )mkoani Morogoro
Apr 22, 2023
Watumishi wa Sekretarieti ya Ajira wakiwa kwenye uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro
Apr 09, 2023
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Hassan O. Kitenge na Menejimenti wanawatakia Wakristo wote Heri ya Pasaka
Mar 24, 2023
Katibu Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw.Hassan Kitenge (wa kwanza kulia) akimpokea Naibu Waziri Utumishi wa Umma Mhe.Ridhiwani Kikwete (wa kwanza kushoto) katika Ofisi za Sekretarieti ya Ajira jijini Dodoma. Aliyesimama katikati ni Mkurugenzi wa Utawala Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira Bw.Innocent Bomani
Mar 24, 2023
Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.Ridhiwani Kikwete akiwa pamoja na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bw. Juma Mkomi kwa pamoja wakipokelewa katika Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
Mar 24, 2023
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Bi.Lynn Chawala akisalimiana na Naibu Waziri Utumishi Mhe. Ridhiwani Kikwete alipowasili katika Ofisi za Sekretarieti ya Ajira jijini Dodoma.
Mar 24, 2023
Katibu Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw.Hassan Kitenge akiambatana na Wakuu wa Idara kumuaga Naibu Waziri wa Utumishi Mhe.Ridhiwani Kikwete (wa pili kushoto) na Katibu Mkuu Utumishi Bw,Juma Mkomi (wa tatu kulia ) baada ya kumaliza kikao kazi na Menejimenti ya Sekretarieti ya Ajira jijini Dodoma.
Mar 24, 2023
Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.Ridhiwani Kikwete (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na Wakuu wa Idara na Vitengo Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma.Wa kwanza kulia(aliyekaa) ni Katibu Mkuu Utumishi Bw. Juma Mkomi na wa kwanza kushoto (aliyekaa) ni aliyekuwa Katibu Sekretarieti ya ajira Bw.Hassan Kitenge
Mar 23, 2023
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma Bw. Hassan O. Kitenge na Watumishi wanawatakia Waislamu wote mfungo mwema wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan
Mar 23, 2023
Kaimu Katibu Msaidizi - Zanzibar Bw. Selemani Chihembe (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Maafisa vijana, Maafisa Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Wilaya na Mikoa wa Unguja
Mar 23, 2023
Kikao kazi na Maafisa vijana, Maafisa Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Mikoa na Wilaya za Unguja wakipata elimu juu ya majukumu ya Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kilichofanyika Unguja
Mar 10, 2023
Katibu Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Hassan Kitenge (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi Sekretarieti ya Ajira mara baada ya kuhitimisha kikao hicho. Kushoto ni mwakilishi wa TUGHE Taifa Bw.Rugemalira Rutatina na aliyekaa kulia ni Katibu Msaidizi wa Baraza la Wafanyakazi Bw.Imani Kasagala.
Mar 10, 2023
Mkuu wa Kitengo cha Mipango na Tathmini Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Joachim Nyanda akiwasilisha Mpango wa bajeti kwa mwaka wa fedha 2023/24 katika Baraza la Wafanyakazi wa Sekretarieti ya Ajira jijini Dodoma.
Mar 09, 2023
Wanawake wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wakiwa katika Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani ambapo kimkoa yamefanyika katika Wilaya ya Kondoa Jijini Dodoma
Mar 08, 2023
Wanawake Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wakipita mbele ya Mgeni rasmi Mhe.Rosemary Senyamule katika Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani Wilayani Kondoa,2023
Mar 08, 2023
Wanawake Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wakiwa kwenye picha ya pamoja Siku ya Wanawake duniani 2023
Mar 04, 2023
Baadhi ya Wataalamu wanaosimamia Ujenzi wa Jengo la Ofisi ya Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Dodoma
Mar 02, 2023
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Hassan O. Kitenge (katikati) akiwa na wakuu wa Idara, Vitengo na maafisa Bajeti mara baada ya kikao cha kujadili maoteo ya Bajeti ya Mwaka 2023/2024 jijini Dodoma
Feb 15, 2023
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Hassan O. Kitenge akimkaribisha Mh. Jenista Mhagama Waziri wa nchi,Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora katika viwanja vya Ofisi ya Nyaraka kwa ajili ya kikao kazi na Menejimenti ya Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma.
Feb 15, 2023
Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Jenista Mhagama akiwa katika kikao kazi na Wakuu wa Idara na Vitengo wa Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
Feb 15, 2023
Katibu Bw. Hassan Kitenge akiwa na Wakuu wa Idara na Vitengo wakimsikiliza Mh. Jenista Mhagama Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
Feb 07, 2023
Wasailiwa wakiwa kwenye Usaili wa Kuandika jijini Arusha.
Feb 07, 2023
Msailiwa akiwa kwenye usaili wa Vitendo Kada ya Uandishi wa Habari jijini Dodoma.
Feb 07, 2023
Mwenyekiti wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bibi Sophia Kaduma (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na Menejimenti ya Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma jijini Dodoma.
Feb 02, 2023
Mwenyekiti wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bibi Sophia Kaduma (katikati) akiwa na wajumbe wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, Aliyekuwa Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Hassan Kitenge (watatu kulia) na Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Rasilimali watu Bw. Innocent Bomani (wakwanza kushoto) mara baada ya Kikao cha Wajumbe jijni Dodoma.
Jan 21, 2023
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Hassan O Kitenge (wapili kushoto) akiwa na Bw. Innocent Bomani - Mkuu wa Idara ya Utawala na Rasilimali watu, Bw. Christopher Nkupama - Mkuu wa Kitengo cha Uhasibu na Fedha na Eng. Samwel Tanguye - Mkuu wa Idara ya TEHAMA wakikagua eneo la Ujenzi wa Ofisi jijini Dodoma
Jan 21, 2023
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Hassan O. Kitenge akikabidhi eneo la ujenzi wa jengo la Ofisi la ghorofa nne lililopo Block "A" NCC jijini Dodoma kwa Mkandarasi CRJE (EAST AFRICA) Limited
Jan 18, 2023
Aliyekuwa Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Hassan O. Kitenge (watatu kulia) akiwa na baadhi ya wakuu wa Idara na Vitengo wakishuhudia utiaji saini wa ujenzi wa jengo la Ofisi unaotarajiwa kuanza mwezi Februari
Jan 18, 2023
Aliyekuwa Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Hassan O. Kitenge amesaini mkataba na kampuni ya CRJE (East Africa) Limited kwa ajili ya kujenga jengo la Ofisi la ghorofa nne.
Jan 12, 2023
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Hassan O. Kitenge anawatakia Watanzania wote heri ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
Jan 11, 2023
Wadau wakitoa maoni na mahitaji ya mfumo wa Kieletroniki wa kufanya Usaili wa kuandika (Online Aptitude Teste System) katika Ukumbi wa Chuo cha Taifa cha Utalii Dar es Salaam
Jan 09, 2023
Wadau wakitoa maoni na mahitaji ya mfumo wa Kieletroniki wa kufanya usaili wa kuandika (Online Aptitude Test System) katika kikao kilichofanyika Dodoma
Dec 28, 2022
Naibu Katibu Idara ya TEHAMA Mhandisi Samwel Tanguye akitoa mafunzo ya Mradi wa TEHAMA kwa Watumishi wa Sekretarieti ya Ajira Mkoani Morogoro
Dec 25, 2022
Merry Christmas & Happy New year 2023
Dec 23, 2022
Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe. Saada Mkuya akiwa katika kituo cha Usaili wa TRA uliofanyika katika Chuo cha Utawala wa Umma Zanzibar akiongea na kuwaasa wasailiwa wawe makini na wafanye usaili kwa makini kwani hakuna mtu yeyote atakaye pendelewa na kuwaambia kuwa juhudi zao ndizo zitakazo wasaidia kufika wanapo pataka.
Nov 18, 2022
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Bw. Hassan O. Kitenge (katikati) akiwa na baadhi ya watumishi wa Sekretarieti ya Ajira
Nov 09, 2022
Watumishi wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira wanasikitika kumpoteza mtumishi mwenzao Marehemu Dunia R. Kanena
Oct 24, 2022
Wasailiwa wakiwa kwenye usaili Fundi Sanifu Umeme
Sep 12, 2022
Wasailiwa wakiwa tayari kuanza usaili wa Kuandika
Sep 12, 2022
Msailiwa akiwa kwenye usaili wa Vitendo Fundi Sanifu Magari
Sep 12, 2022
Baadhi ya Wasailiwa wakiwa kwenye chumba cha Usaili
Sep 11, 2022
Msailiwa akiwa katika usaili wa Vitendo Kada ya Fundi Sanifu Magari
Sep 11, 2022
Usaili wa Alama za barabarani ukiwa unaendelea kwa kada ya Udereva.
Sep 08, 2022
Watumishi wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma wanasikitika kumpoteza Mtumishi mwenzao Marehemu Ivo Kilima. Mungu ailaze roho ya Marehemu mahali pema peponi amen.
Aug 17, 2022
Washiriki wa Mafunzo ya Usimamizi wa Viashiria vya hatari (Risk Champions) kutoka Sekretarieti ya Ajira wakifuatilia mafunzo hayo katika ukumbi wa Kumbukumbu na Nyaraka jijini Dodoma.
Aug 17, 2022
Mkuu wa Kitengo cha Mipango,Ufuatiliaji na Tathmini Sekretarieti ya Ajira Bw.Hamisi Yunah (aliyesimama) akimkaribisha Katibu Sekretarieti ya Ajira Bw. Hassan O. Kitenge ( wa katikati) ili aweze kufungua Mafunzo ya Usimamizi wa Viashiria vya hatari jijini Dodoma.
Aug 17, 2022
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Bw. Hassan O. Kitenge (wa tatu kulia) akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Watumishi wa Sekretarieti ya Ajira baada ya ufunguzi wa Mafunzo ya Usimamizi wa Viashiria vya hatari katika ukumbi wa Kumbukumbu na Nyaraka jijini Dodoma. Wa tatu kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa Bw. Firimin M. Msiangi
Aug 09, 2022
Mmoja wa waombaji fursa za ajira akisaini kitabu cha wageni katika banda la Sekretarieti ya ajira jijini Mbeya
Aug 08, 2022
Afisa Tawala Mwandamizi Bw.Geofrey Kikosa akitoa elimu kwa wadau wa ajira walipotembelea banda la Sekretarieti ya Ajira katka Viwanja vya Nanenane jijini Mbeya.
Jun 20, 2022
Wasailiwa wakiwa katika usaili wa Vitendo Kada ya Upishi katika Chuo cha Ufundi VETA- Dodoma.
Jun 07, 2022
Watumishi wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wakimpokea Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.Deogratius Ndejembi alipotembelea Taasisi hiyo.
Jun 07, 2022
Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Deogratius Ndejembi (wa tatu kutoka kushoto) akiwa kwenye picha ya pamoja na Wakurugenzi wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma baada ya kuhitimisha ziara yake ya kikazi katika Taasisi hiyo.
May 27, 2022
Msailiwa akikagua mtambo kabla ya kuanza usaili wa vitendo wa kuendesha mtambo huo Bandarini jijini Dar es Salaam.
May 27, 2022
Mmoja wa wasailiwa akifanya usaili wa Vitendo Bandarini jijini Dar es Salaam uliosimamiwa na Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma.
May 18, 2022
Watumishi wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wakimsubiri Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kuwasili katika ofisi hiyo jijini Dodoma
May 18, 2022
Katibu wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw.Hassan Omani Kitenge akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Wakurugenzi wa ofisi hiyo baada ya mapokezi
May 18, 2022
Watumishi wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wakiwa kwenye picha ya pamoja na Katibu wa ofisi hiyo baada ya kumpokea.
May 18, 2022
Kaimu Katibu Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Mhandisi Samwel Tanguye akiwa pamoja Mkurugenzi wa Idara ya Utawala Bw.Innocent Bomani wakimkaribisha Katibu wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw.Hassan Omani Kitenge mara baada ya kuwasili katika Ofisi hiyo.
May 18, 2022
Watumishi wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wakimpokea Katibu wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw.Hassan Omani Kitenge alipowasili kwenye ofisi hiyo baada ya kuteuliwa na Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.
May 05, 2022
Picha ya pamoja ya Washiriki wa Semina iliyolenga kuwajengea uelewa wajumbe wa Bodi za ajira katika Halmashauri zilizopo Mkoa wa Njombe, kuhusu mchakato wa ajira katika taasisi zilizokasimiwa mamlaka. Mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa Njombe Mji Mkoa wa Njombe.
May 05, 2022
Hivi ndivyo ilivyokuwa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Siku ya Mei Mosi 2022 Kitaifa jijini Dodoma.
May 05, 2022
Watumishi wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wakiwa katika picha ya pamoja kwenye Maadhimisho ya Mei Mosi 2022 jijini Dodoma.
Apr 07, 2022
Kaimu Katibu Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Mhandisi Samwel Tanguye akielezea mafanikio ya mwaka mmoja wa Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan
Mar 10, 2022
Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma yaadhimisha Siku ya Wanawake Duniani wilayani Chemba katika mkoa wa Dodoma.
Feb 24, 2022
Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.Jenista Mhagama (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na Watumishi wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira jijini Dodoma. Wa kwanza kulia Kaimu Katibu Sekretarieti ya Ajira Bw.Samwel Tanguye na wa kwanza kushoto ni Naibu Katibu Idara ya Ajira Bw.Lucas Mlumapili.
Feb 19, 2022
Kaimu Katibu Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw.Samwel Tanguye akiwasilisha Taarifa yake kwenye kikao cha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Jenista Mhagama na Watumishi wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma jijini Dodoma.
Feb 19, 2022
Kaimu Katibu Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw.Samwel Tanguye akimkaribisha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.Jenista Mhagama katika ofisi za Asha Rose Migiro jijini Dodoma.
Feb 19, 2022
Menejimenti ya Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma ikiongozwa na Kaimu Katibu Bw.Samwel Tanguye wakimpokea Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora alipotembelea Taasisi hiyo.
Feb 19, 2022
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Jenista Mhagama akizungumza na Menejimenti ya Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma mara baada ya kuitembelea ofisi hiyo.
Feb 19, 2022
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.Jenista Mhagama akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kufika katika Ofisi za Sekretarieti ya Ajira jijini Dodoma..
Feb 15, 2022
Mwenyekiti wa Bodi ya Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bi.Sophia Kaduma akiwa pamoja na Kaimu Katibu Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw.Samwel Tanguye katika kikao cha kupitisha matokeo ya usaili jijini Dodoma.
Feb 15, 2022
Mwenyekiti wa Bodi ya Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bi.Sophia Kaduma akimpongeza Kamishna Saidi Kamugisha kwa kuchaguliwa na Wajumbe wa Bodi hiyo kuwa Makamu Mwenyekiti jijini Dodoma katika Ukumbi wa Mkutano wa ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma.
Feb 15, 2022
Wajumbe wa Bodi ya Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wakipitia makabrasha yenye orodha ya idadi ya wasailiwa. Wa kwanza ni Kamishna Saidi Kamugisha, wa pili (katikati) Bi. Riziki Kuhanwa na wa mwisho kulia ni Bi.Bernadetta Ndunguru.
Feb 15, 2022
Mwenyekiti wa Bodi ya Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bi.Sophia Kaduma (aliyekaa mbele kushoto) akiongoza kikao cha kawaida cha kwanza cha kupitia matokeo ya usaili. Aliyekaa mbele kulia ni Naibu Katibu Sekretarieti ya Ajira Bw.Samwel Tanguye
Jan 13, 2022
Hongera Zanzibar kwa kuadhimisha miaka 58 ya Mapinduzi Matukufu.
Jan 13, 2022
Aliyekuwa Katibu wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Xavier M. Daudi akizungumza na Watumishi wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma baada ya kuwaaga..
Jan 12, 2022
"Kwaherini jamani nawatakieni kazi njema na uwajibikaji tuko pamoja katika kutumikia Taifa letu" alisema Bw. Xavier Daudi aliyekuwa Katibu Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma alipokuwa akiwaaga watumishi wake.
Jan 12, 2022
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bw. Xavier M. Daudi akiondoka baada ya kuagana na wafanyakazi wa ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma jijini Dodoma.
Jan 12, 2022
Aliyekuwa Katibu wa Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw.Xavier M. Daudi akipeana mkono na Naibu Katibu Idara ya Ajira Bw.Lucas Mlumapili katika Ofisi za Sekretarieti ya Ajira kwa kumuaga na kumpongeza kwa uteuzi.
Jan 11, 2022
Hongera Bw.Xavier M. Daudi kwa kuteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.
Jan 11, 2022
Wafanyakazi wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wamuaga aliyekuwa Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Bw. Xavier M. Daudi baada ya kuteuliwa na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kuwa Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.
Dec 20, 2021
Wakurugenzi wa Idara na Vitengo pamoja na Timu ya Wataalam kwenye picha ya pamoja katika hifadhi ya Manyara baada ya kuhitimisha kikao kazi Wilaya ya Karatu.
Dec 20, 2021
Baadhi ya Wakurugenzi wa Idara na Vitengo pamoja na Wataalam wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wakiwa katika picha ya pamoja walipotembelea hifadhi ya Manyara iliyopo katika Wilaya ya Karatu baada ya kumaliza kikao kazi kilichoongozwa na Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw.Xavier Daudi wilayani hapo katika ukumbi wa Manyara Conference Centre.
Nov 30, 2021
Watumishi wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wakipata mafunzo kwa vitendo namna ya kujikinga na ajali ya moto inapotokea. Mafunzo hayo yametolewa na Staff Surgent Joyce Kapinga pamoja na Koplo Kabuche Tengwa kutoka Jeshi la Zimamoto na Uokoaji jijini Dodoma.
Nov 19, 2021
Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Mohamed Mchengerwa (wa tatu kutoka kulia aliyekaa) akiwa kwenye picha ya pamoja na Menejimenti ya Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma mara baada ya kuzindua Ajira Portal Mobile App.
Nov 19, 2021
Waziri, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Mohamed Mchengerwa (wa tatu kutoka kulia aliyekaa) akiwa kwenye picha ya pamoja na Naibu Waziri Mhe. Deogratius Ndejembi (wa pili kutoka kulia aliyekaa), Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bw. Laurean Ndumbaro ( wa pili kutoka kushoto aliyekaa) Mwenyekiti wa Bodi ya Sekretarieti ya Ajira Bi.Sophia Kaduma (wa kwanza kushoto aliyekaa) na Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Bw. Xavier Daudi ( wa kwanza kulia aliyekaa) pamoja na wawakilishi kutoka Mradi wa Maendeleo PS3+ mara baada ya kuzindua Ajira Portal Mobile App.
Nov 19, 2021
Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Mohamed Mchengerwa (wa tatu kutoka kulia aliyekaa) akiwa kwenye picha ya pamoja na Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Bw. Xavier Daudi ( wa kwanza kulia aliyekaa) pamoja na Wajumbe wa Bodi ya Sekretarieti ya Ajira mara baada ya kuzindua Ajira Portal Mobile App.
Nov 19, 2021
Waziri, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora, Mhe. Mohamed Mchengerwa (Mb) akizindua mfumo wa
Nov 19, 2021
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw.Xavier Daudi akitoa hotuba yake kwa Mgeni rasmi katika Uzinduzi wa Ajia Portal moblle App uliofanyika katika ukumbi wa Tume ya Uchaguzi jijini Dodoma .
Nov 19, 2021
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw.Xavier Daudi akitoa hotuba yake kwa Mgeni rasmi katika Uzinduzi wa Ajia Portal moblle App uliofanyika katika ukumbi wa Tume ya Uchaguzi jijini Dodoma .
Nov 16, 2021
Katibu wa Sekretarieti ya ajira katika utumishi wa umma (katikati) pamoja na viongozi wakuu wa Utumishi wakimpokea Waziri wa Utumishi na Utawala bora mara tu alipowasili kwenye ofisi za Tume ya Uchaguzi kwa lengo la kuzindua bodi ya Sekretarieti ya ajira.
Nov 16, 2021
Mwenyekiti wa Bodi ya Sekretarieti ya Ajira, Bi.Sophia E. Kaduma akitoa hotuba kwa mgeni rasmi mara baada ya uzinduzi wa bodi hiyo.
Nov 16, 2021
Mgeni rasmi Waziri wa Utumishi ( wa pili kulia) akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa bodi baada ya kuizindua bodi hiyo.
Nov 16, 2021
Mgeni rasmi Waziri wa Utumishi (wa pili kulia ) akiwa katika picha ya pamoja na watendaji wa sekretarieti ya ajira katika utumishi wa umma baada ya kuizindua bodi yao.
Aug 31, 2021
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Ndg. Xavier Daudi (katikati) akiongoza matembezi ya Watumishi kutoka Ofisi za Sekretarieti ya Ajira kuelekea katika viwanja vya UDOM kwa ajili ya mazoezi ikiwa ni utekelezaji wa maelekezo ya Viongozi Wakuu wa Serikali ambayo yanahimiza Watumishi kufanya mazoezi ili kulinda afya zao.
Aug 31, 2021
Picha ya pamoja ya Watumishi wa Sekretarieti ya Ajira kabla ya kuanza kwa mazoezi ya kutembea kuelekea viwanja vya michezo vilivyoko Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kwa ajili ya mazoezi.
Aug 31, 2021
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira akiwa katika mazoezi ya mpira wa miguu ikiwa ni kuitikia wito wa Viongozi Wakuu wa Serikali wa kuhakikisha Watumishi wanafanya mazoezi kulinda afya zao.
Aug 31, 2021
Baadhi ya Watumishi wa Sekretarieti ya Ajira wakielekea katika viwanja vya michezo vilivyopo Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kwa ajili ya mazoezi ya pamoja. Mazoezi haya ni endelevu na yatakuwa yakifanyika kila siku ya Ijumaa.
Aug 31, 2021
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira akiongoza Watumishi kufanya mazoezi ya viungo katika viwanja vya michezo vilivoyopo Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM).
Aug 31, 2021
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Ndg. Xavier Daudi akiwaongoza Watumishi katika mazoezi ya “pushup”. Sekretarieti ya Ajira imetenga siku ya ijumaa jioni kuwa siku rasmi ya mazoezi kwa Watumishi wake.
Jun 27, 2021
Katibu, Ofisi ya Rais-Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma akitoa salaam za pole kwa familia na waombolezaji katika misa ya kumuaga marehemu Riziki Abraham. Marehemu alizikwa tarehe 26 Juni, 2021 Marangu-Mkoani Kilimanjaro.
Jun 27, 2021
Katibu, Ofisi ya Rais-Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Ndg. Xavier Daudi akiwa katika Misa ya kumuombea marehemu Riziki V. Abraham iliyofanyika katika Kanisa la Mt. Augustino, parokia ya Marangu makomu–Moshi. Kushoto kwake ni Naibu Katibu-TEHAMA Mhandisi Samwel Tanguye.
Jun 27, 2021
Sehemu ya waombolezaji kutoka Sekretarieti ya Ajira wakiwa nyumbani kwa mume wa marehemu Riziki V. Abraham kijijini Marangu-Moshi.
Jun 27, 2021
Baadhi ya waombolezaji kutoka Sekretarieti ya Ajira wakiwasili nyumbani kwa mfiwa Marangu-Moshi kushiriki maziko ya aliyekuwa Mtumishi mwenzao Bibi. Riziki V. Abraham aliyefariki tarehe 22 Juni, 2021 Jijini Dodoma.
Jun 27, 2021
Katibu, Ofisi ya Rais-Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma akiweka shada la maua katika kaburi la Marehemu Riziki V. Abraham. Kulia kwake ni Naibu Katibu-TEHAMA Mhandisi Samwel Tanguye.
Jun 27, 2021
Sehemu ya Watumishi wa Sekretarieti ya Ajira wakiweka shada la maua kwenye kaburi la marehemu Riziki Abraham.
Jun 09, 2021
Katibu, Ofisi ya Rais- Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma,
Anatangaza Kifo cha Mtumishi wake aliyekuwa Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini Bibi Riziki Veneranda Abraham kilichotokea tarehe 22 Juni, 2021 Katika Hospitali ya DCMC - Ntyuka, Jijini Dodoma Alipokuwa Amelazwa Kwa Matibabu.
Bwana Ametoa na Bwana Ametwaa Jina lake lihimidiwe
May 20, 2021
Mwenyekiti wa Bodi ya Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bi Sophia Kaduma akifurahia jambo na Watumishi wa Idara ya Ajira wakati wa ziara yake ya kwanza katika ofisi hii ambapo ameweza kutembelea ofisi mbalimbali na kusalimiana na Watumishi, nyuma yake ni Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Bw. Xavier Daudi
May 20, 2021
Mwenyekiti wa Bodi ya Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bi Sophia Kaduma atembelea Ofisi za Sekretarieti ya Ajira kwa mara ya kwanza, hapo akitoka kujionea Masjala ya wazi inavyofanya kazi, kushoto kwake ni Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Bw. Xavier Daudi na mwingine ni Kaimu Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimawatu Bw. Innocent Bomani
May 20, 2021
Wasimamizi wa usaili wakihakikisha mazingira na vitendea kazi wanavyotumia Wasailiwa wa nafasi ya “Pilot Tutor” viko sawasawa kabla ya kuanza usaili uliofanyika kwenye ukumbi wa TCAA katika Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) jijini Dar es Salaam.
May 11, 2021
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi akiongea na Mawaziri wenye dhamana ya masuala ya Utumishi wa Umma Tanzania Bara na Zanzibar na kulia kwake ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Mohamed Mchengerwa kwenye kikao kichofanyika Ikulu Zanzibar.
May 11, 2021
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi akiongea na Mawaziri wenye dhamana ya masuala ya Utumishi wa Umma Tanzania Bara na Zanzibar pamoja na Watendaji wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, TASAF na MKURABITA walipomtembelea Ikulu ya Zanzibar.
May 11, 2021
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mawaziri wenye dhamana ya masuala ya Utumishi wa Umma Tanzania Bara na Zanzibar pamoja na Watendaji wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, TASAF na MKURABITA walipomtembelea Ikulu ya Zanzibar.
May 11, 2021
Waziri wa Nchi, ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Mohamed Mchengerwa akitoa maelekezo kwa Watendaji Wakuu wa Sekretarieti ya Ajira, TASAF na MKURABITA katika kikao kilichofanyika Zanzibar.
May 11, 2021
Waziri wa Nchi, ofisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora Zanzibar, Mwl. Haroun Ali akiongelea masuala ya Ajira kushoto kwake ni Waziri wa Nchi, ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Mohamed Mchengerwa na Naibu wake Mhe. Deogratius Ndejebi kwenye kikao kilichofanyika Zanzibar.
May 11, 2021
Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejebi akiwa na Watendaji wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma na TASAF kwenye ofisi ya Sekretarieti ya Ajira – Zanzibar.
May 11, 2021
Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejebi akiongea na Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Bw. Xavier Daudi na Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Bw. Ladislaus Mwamanga katika kikao kilichofanyika kwenye ofisi za Sekretarieti ya Ajira Zanzibar.
May 11, 2021
Katibu Mkuu Bw. Seif Mwinyi akitoa ufafanuzi kwenye kikao cha Mawaziri wenye dhamana ya Utumishi wa Umma Tanzania Bara na Zanzibar kwenye kikao kilichofanyika katika Ofisi ya Sekretarieti ya Ajira Zanzibar.
May 11, 2021
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemedi Suleiman Abdullah akiwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Mohamed Mchengerwa na baadhi ya Watendaji Wakuu na Maafisa Waandamizi wa Serikali ya SMT na SMZ
May 11, 2021
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Xavier Daudi akitoa ufafanuzi wa masuala ya Mchakato wa Ajira kwa Mawaziri wenye dhamana ya Utumishi wa Umma Tanzania Bara na Zanzibar hawapo pichani.
May 06, 2021
Mwenyekiti wa Bodi ya Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma aliyeteuliwa hivi karibuni Bi. Sophia Elias Kaduma, akizungumza na Watumishi wa Wizara ya Kilimo alipokuwa Katibu Mkuu wa Wizara hiyo kabla ya kustaafu.
May 05, 2021
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Mohammed Omar Mchengerwa akizungumza na Watumishi wa ofisi yake hawapo pichani na kushoto kwake ni Naibu Waziri wa ofisi hiyo Mhe. Deogratius Ndejebi.
May 05, 2021
Baadhi ya Watumishi wa Sekretarieti ya Ajira wakisubiri kuingia uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma wakati wa Maandamano ya Siku ya Wafanyakazi nchini.
May 05, 2021
Baadhi ya Watumishi wa Sekretarieti ya Ajira wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya kuanza maandamano jijini Dodoma katika Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi nchini.
May 05, 2021
Naibu Katibu Idara ya Udhibiti wa Ubora Bw. Humphrey Mniachi akitoa ufafanuzi wa taratibu zitakazotumika katika usaili wa mchujo na kulia kwake ni Afisa Rasilimali watu Bw. Ally Mnyimwa.
May 05, 2021
Mmoja wa Wasailiwa wa ufundi Bomba akiwa kwenye usaili wa vitendo katika Chuo cha VETA jijini Dar es Salaam.
May 05, 2021
Mmoja wa Wasailiwa wa ufundi Uchomeleaji akiwa kwenye usaili wa vitendo katika Chuo cha VETA jijini Dar es Salaam.
May 05, 2021
Mmoja wa Wasailiwa wa ufundi Umeme akiwa kwenye usaili wa vitendo katika Chuo cha VETA jijini Dar es Salaam.
May 05, 2021
Baadhi ya Wasailiwa wa ufundi Uashi wakiwa kwenye usaili wa vitendo katika Chuo cha VETA jijini Dar es Salaam.
May 05, 2021
Wasailiwa wa Taasisi mbalimbali za Umma wakiwa kwenye usaili wa Mchujo DUCE
May 05, 2021
Katibu wa TUGHE ofisi ya Sekretarieti ya Ajira Bw. Isa Paul akifafanua jambo kwa Watumishi wengine kulia ni Afisa Tawala Mkuu Bi Doroth Ndabi, na kushoto ni Afisa Tawala Mwandamizi Bi Rehema Ndehani.
Apr 07, 2021
HAYATI ABEID AMANI KARUME - TUTAKUENZI DAIMA
Mar 20, 2021
.
Mar 19, 2021
BURIANI
Mar 18, 2021
Hongera kwa kuteuliwa kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania- Mhe. Dkt. Philip. Isdor Mpango.
Mar 08, 2021
Hongera kwa kuteuliwa kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Mohamed Omary Mchengerwa.
Mar 05, 2021
Katibu Msaidizi, Idara ya Ajira katika Sekretarieti ya Ajira Bw. Malimi Muya akitoa maelekezo kwa Wasailiwa wa kada mbalimbali kabla ya kuanza usaili wa mchujo uliofanyika katika ukumbi wa Chuo Kikuu Dodoma (UDOM).
Mar 05, 2021
Baadhi ya wadau wakiwa kwenye kikundi kazi wakipitia Mpango Mkakati wa Sekretarieti ya Ajira kurasa kwa kurasa kwa lengo la kuhuisha katika ofisi za Nyaraka, jijini Dodoma.
Mar 05, 2021
Naibu Katibu Idara ya Ajira katika Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, Bw. Lucas Mrumapili aliyeketi katikati akiwa na wadau mbalimbali kutoka sekta ya Umma wakati wa kikao cha kuhuisha Mpango Mkakati wa Sekretarieti ya Ajira katika ofisi za Nyaraka, jijini Dodoma.
Feb 19, 2021
Pumzika kwa Amani,
Katibu Mkuu Kiongozi
Mhandisi Balozi John W. KIjazi
Feb 19, 2021
Pumzika kwa Amani,
Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad
Makamu wa kwanza wa Rais Zanzibar
Feb 17, 2021
Naibu Katibu, Idara ya TEHAMA, Mhandisi Samweli Tanguye akiwa na Wakaguzi kutoka Tume ya Utumishi wa Umma walioketi pamoja na baadhi ya Wajumbe wa Menejimenti ya Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma walipotembelea ofisi za Sekretarieti ya Ajira jijini Dodoma.
Feb 17, 2021
Wakaguzi kutoka Tume ya Utumishi wa Umma wakiwa katika kikao cha ufunguzi na Menejimenti ya Sekretarieti ya Ajira, walipokuja kutekeleza majukumu yao ya kikaguzi katika ofisi za Sekretarieti ya Ajira jijini Dodoma, kushoto ni Bi. Saada Ibrahim, Bi. Chiku Mtemba na kiongozi wa msafara Bw. Japhary Maganga.
Feb 17, 2021
Baadhi ya Wajumbe wa timu ya maboresho ya mfumo wa maombi ya kazi katika Sekretarieti ya Ajira wakiendelea na kazi, kushoto ni Kaimu Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimaliwatu Bw. Innocent Bomani, mwingine ni Mchumi Bw. Charles Mbinga pamoja na Mchambuzi wa Mifumo ya Kompyuta Mwandamizi Bi. Mtage Ugulumu.
Feb 17, 2021
Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani katika Sekretarieti ya Ajira, Bw. John Kiria akiwa na Katibu Msaidizi Idara ya Ajira Bi. Khadija Isihaka na Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Rasilimaliwatu Bw. Innocent Bomani wakimsikiliza Mwenyekiti (hayupo pichani) wakati wa kikao cha Menejimenti jijini Dodoma.
Feb 17, 2021
Naibu Katibu, Idara ya TEHAMA, Mhandisi Samwel Tanguye akifafanua jambo katika kikao cha Menejimenti ya Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma jijini Dodoma.
Feb 17, 2021
Afisa TEHAMA Mwandamizi katika Sekretarieti ya Ajira Bw. Mussa Mselem akijiandaa kuwasilisha mada katika kikao cha Menejimenti ya Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma.
Feb 17, 2021
Katibu Mkuu, Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais, Sera, Uratibu na Baraza la Wawakilishi Bw. Thabit Faina akiwa na Afisa Tawala aliyeko Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (Zanzibar), Bw. Selemani Chihembe alipomtembelea ofisini kwake Vuga-Unguja.
Jan 25, 2021
Naibu Katibu Idara ya Ajira katika Sekretarieti ya Ajira, Bw. Lucas Mrumapili akichangia mada katika kikao cha Baraza kilichofanyika SUA mkoani Morogoro.
Jan 25, 2021
Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mipango, Tathmini na Ufuatiliaji katika Sekretarieti ya Ajira, Bw. Godfrey Mchani akiwasilisha mada ya masuala ya bajeti katika kikao cha Baraza kilichofanyika SUA mkoani Morogoro.
Jan 25, 2021
Baadhi ya Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi katika Sekretarieti ya Ajira wakiwa katika kikao cha Baraza kilichofanyika SUA mkoani Morogoro.
Jan 25, 2021
Baadhi ya Watumishi wa Sekretarieti ya Ajira wakifuatilia majadiliano wakati wa kikao cha Baraza la Wafanyakazi lililofanyika SUA mkoani Morogoro.
Jan 25, 2021
Katibu Muhutasi Mwandamizi, Bi. Janeth Saki akichapa majadiliano mbalimbali ya Wajumbe wakati wa kikao cha Baraza kilichofanyika SUA mkoani Mororogoro.
Jan 25, 2021
mmoja wa wasimamizi wa usaili ambae ni Naibu Katibu Idara ya Udhibiti wa Ubora, Bw. Humphrey Mniachi akiangalia wasailiwa kama wanafuata taratibu za usaili wakati wasailiwa hao wakiendelea na usaili wa kuandika mkoani Dodoma.
Jan 25, 2021
Wasailiwa wa nafasi mbalimbali za kazi kwa ajili ya MORUWASA wakiendelea na usaili SUA mkoani Morogoro.
Jan 25, 2021
Baadhi ya Wasimamizi na Walimu wakipokea maelekezo kutoka kwa mratibu wa zoezi hilo Bw. Ally Mnyimwa jijini Dodoma.
Jan 25, 2021
Baadhi ya Wasailiwa wakiendelea na usaili wa kuandika jijini Dodoma.
Dec 21, 2020
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora, Mhe. Kapt. Mstaafu George Mkuchika akiwasili katika Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine Mkoani Morogoro kwa ajili ya kufungua kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa Sekretarieti ya Ajira kushoto kwake ni Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Xavier Daudi
Dec 19, 2020
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora, Mhe. Kapt. Mstaafu George Mkuchika akisalimiana na Katibu wa TUGHE wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Issa Paul alipowasili katika Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine kwa ajili ya kufungua kikao cha Baraza la Sekretarieti ya Ajira.
Dec 19, 2020
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora, Mhe. Kapt. Mstaafu George Mkuchika akitoa hotuba yake ya ufunguzi wa kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma katika Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine mkoani Morogoro.
Dec 19, 2020
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, Bw. Xavier Daudi akiwa katika kikao cha Wakaguzi wa Nje pamoja na Wajumbe wa Menejimenti wa Taasisi yake.
Dec 19, 2020
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora, Mhe. Kapt. Mstaafu George Mkuchika akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi mbalimbali mara baada ya kufungua kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kilichofanyika katika Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine mkoani Morogoro.
Dec 19, 2020
Wakaguzi wa Nje wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, wakiongozwa na Mkaguzi Mkuu Bw. Emmanuel Shirima kulia ni Bw. Erasto Kawili na Bw. Semboko kwenye kikao na Menejimenti ya Sekretarieti ya Ajira hawapo pichani.
Dec 19, 2020
Mhasibu Mkuu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, Bw. Sulemani Mwanga akiwa na Kaimu Mkaguzi Mkuu wa Ndani Bw. John Kiria wakisikiliza hoja kutoka kwa Mkaguzi Mkuu wa Nje Bw. Emmanuel Shirima.
Dec 19, 2020
Baadhi ya Wajumbe wa Menejimenti ya Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wakifuatilia kikao cha Wakaguzi wa Nje hawapo pichani.
Dec 19, 2020
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, Xavier Daudi akiongea na Makamu wa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) Prof. Raphael Chibunda alipomtembelea ofisini kwake kabla ya kuanza kwa kikao cha Baraza la Wafanyakazi la Sekretarieti ya Ajira lililofanyika chuoni hapo.
Dec 19, 2020
Baadhi ya Watumishi wa Sekretarieti ya Ajira wakimsikiliza Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, Bw. Xavier Daudi katika kikao chao cha kwanza tangu wahamie Dodoma.
Dec 19, 2020
Naibu Katibu, Idara ya Ajira, Bw. Lucas Mrumapili akiwa na Naibu Katibu, Idara ya Udhibiti wa Ubora, Bw. Humphrey Mniachi wakimsikiliza Katibu wa Sekretarieti ya Ajirakatika Utumishi wa Umma hayupo picha Bw. Xavier Daudi ikiwa ni kikao cha kwanza tangu ofisi za Sekretarieti ya Ajira zihamie Dodoma.
Dec 19, 2020
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, Bw. Xavier Daudi katikati akitoka kukagua ofisi za Watumishi wa Idara ya Ajira na kulia ni Naibu Katibu, Idara ya Ajira Bw. Lucas Mrumapili na Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Rasilimaliwatu Bw. Innocent Bomani.
Dec 06, 2020
Katibu, Menejimenti na Watumishi wa Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wanakupongeza kwa kuteuliwa kwa mara nyingine kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Kapt (Mst) George Huruma Mkuchika (Mb).
Dec 06, 2020
Katibu, Menejimenti na Watumishi wa Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wanakupongeza kwa kuteuliwa kuwa Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius John Ndejebi (Mb).
Nov 26, 2020
Wajumbe wa jopo la usaili ambao miongoni mwao kuna Makatibu Wakuu Wastaafu na Viongozi wengine Waandamizi Serikalini wakimsikiliza mmoja wa wasailiwa ngazi ya Menejimenti TASAF akiwa nchini Botswana hayupo pichani akifanya usaili kwa njia ya mtandao (Video Conference).
Nov 26, 2020
Katikati ni Katibu Mkuu Utumishi-Dkt. Laurean Ndumbaro akijadiliana jambo na Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Bw. Xavier Daudi na kushoto kwake ni Katibu Mkuu, IKULU- Dkt. Moses Kusiluka wakati wa usaili wa nafasi ya menejimenti TASAF, mmoja wa wasailiwa akiwa nchini Botswana. Usaili umefanyika TAGLA kwa njia ya mtandao (Video Conference).
Nov 26, 2020
Katibu Mkuu Utumishi-Dkt. Laurean Ndumbaro akiongoza jopo la usaili wa nafasi ya Menejimenti TASAF, kushoto kwake ni Katibu Mkuu Ikulu- Dkt. Moses Kusiluka, kulia kwake ni Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Bw. Xavier Daudi, Mtendaji Mkuu wa TASAF Bw. Ladislaus Mwamanga pamoja na Katibu Mkuu Mstaafu Dkt. Silvanus Likwelile wakimsikiliza mmoja wa wasailiwa akiwa nchini Botswana wakati wa usaili kwa njia ya mtandao (Video Conference).
Nov 26, 2020
Moja ya gari la jeshi likifungwa mlango tayari kuondoka mara baada ya kushusha mizigo kwenye ofisi za Sekretarieti ya Ajira jijini Dodoma.
Nov 26, 2020
Moja ya gari la jeshi likiwa limewasili katika jengo la Utumishi zilipo pia ofisi za Sekretarieti ya Ajira jijini Dodoma tayari kushusha mizigo ya ofisi hiyo.
Nov 26, 2020
Mizigo ya Sekretarieti ya Ajira ikiendelea kushushwa kwenye gari la jeshi jijini Dodoma ilipohamia taasis hiyo.
Nov 26, 2020
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, Xavier Daudi akiwa na watumishi wengine wakiangalia moja ya gari likiondoka na mizigo katika ofisi hizo eneo la Kivukoni jijini Dar es Salaam na gari lingine likiwa tayari kuanza safari kuelekea jijini Dodoma walipohamia.
Nov 26, 2020
Wasailiwa wakifanya na Usaili wa Mchujo wa nafasi za kazi za Taasisi mbalimbali za Umma, jijini Mwanza .
Nov 26, 2020
Mmoja wa madereva wa gari la Jeshi la Wananchi lililopakia mizigo ya Sekretarieti ya Ajira, Staff Surgent Aisha Kigodi akielekea kwenye gari eneo la Kivukoni jijini Dar es Salaam tayari kuanza safari kuelekea jijini Dodoma zilipohamia ofisi za taasis hiyo.
Nov 26, 2020
Haya ni baadhi ya magari ambayo yamekuwa yakitumika kwenye Usaili wa Vitendo kwa ajili ya madereva wenye leseni kuanzia daraja C1 au daraja E.
Nov 11, 2020
Menejimenti na Watumishi wa Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wanampongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli na Mhe. Samia Suluhu Hassan, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuchaguliwa kwao kwa kishindo kuiongoza Tanzania kwa awamu nyingine ya miaka mitano.
Nov 11, 2020
Menejimenti na Watumishi wa Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wanampongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi kwa kuchaguliwa kwake kwa kishindo.
Oct 09, 2020
Menejimenti na Watumishi wa Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wanampongeza Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa kwa kuaminiwa na kuteuliwa kwake kwa mara nyingine kuwatumikia Watanzania,
Oct 09, 2020
Naibu Katibu, Idara ya Ajira katika Sekretarieti ya Ajira Bw. Lucas Mrumapili akinukuu baadhi ya hoja wakati wa kikao cha Wafanyakazi wakizungumza na Mkuu wa taasisi na wengine ni Maafisa wa Sekretarieti ya Ajira wakifuatilia hoja mbalimbali.
Oct 09, 2020
Baadhi ya Wafanyakazi wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wakimsikiliza Katibu wa taasisi hiyo, Bw. Xavier Daudi hayupo pichani wakati wa kikao cha pamoja na Wafanyakazi hao.
Oct 09, 2020
Mhe. Balozi Anisa Mbega aliyesimama mbele katikati akiwa na baadhi wa Maafisa Waandamizi kutoka Sekretarieti ya Ajira na wadau wengine wa sekta ya Ajira serikalini wakati wa kikao cha pamoja cha wadau kujadili mahitaji ya kipaumbele ya Serikali kutoka kwa Watanzania wataalam wenye ujuzi maalum waliopo nje ya nchi (Diaspora) kilichofanyika jijini Dodoma Oktoba 6, 2020.
Oct 09, 2020
Mhe. Balozi Anisa Mbega aliyeketi kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki akiwa na baadhi wa Maafisa Waandamizi kutoka Sekretarieti ya Ajira na wadau wengine wa sekta ya Ajira serikalini wakati wa kikao cha pamoja cha wadau kujadili mahitaji ya kipaumbele ya Serikali kutoka kwa Watanzania wataalam wenye ujuzi maalum waliopo nje ya nchi (Diaspora) kilichofanyika jijini Dodoma Oktoba 6, 2020.
Sep 28, 2020
Naibu Katibu, Idara ya Ajira katika Sekretarieti ya Ajira Bw. Lucas Mrumapili akizungumza na Wajumbe wa Majopo ya Usaili katika Chuo cha CBE jijini Mwanza kabla ya kuanza usaili wa wa kujaza nafasi za kazi za Mkataba TANESCO.
Sep 28, 2020
Baadhi ya Wasailiwa wa nafasi mbalimbali za kazi za TANESCO wakiendelea na Usaili wa Mchujo jijini Mwanza katika Chuo cha Ualimu Butimba.
Sep 28, 2020
Baadhi ya Wasailiwa wa nafasi mbalimbali za kazi za TANESCO wakiendelea na Usaili wa Mchujo jijini Mwanza katika Chuo cha Ualimu Butimba.
Sep 28, 2020
Baadhi ya Wasailiwa wa nafasi mbalimbali za kazi za TANESCO wakiendelea na Usaili wa Mchujo jijini Mwanza katika Chuo cha Ualimu Butimba.
Sep 03, 2020
Mtaalam wa masuala ya Saikolojia, Zainab Rashid kutoka Chuo cha Ustawi wa Jamii akifundisha washiriki wa mafunzo kutoka Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma namna ya kuweza kumpima mtu na kuweza kufahamu tabia, uwezo na hulka ya mhusika.
Sep 03, 2020
Wataalam wa Saikolojia kutoka Chuo cha Ustawi wa Jamii kulia ni Gilbert Mkisi, Zainab Rashid na Julius Mbilinyi wakinukuu maswali ya kutoka kwa Washiriki ili kuweza kuyapatia majibu.
Sep 03, 2020
Washiriki wa Mafunzo ya Saikolojia kutoka Sekretarieti ya Ajira pamoja na Wawezeshaji masuala ya Saikolojia kutoka katika Vyuo mbalimbali nchini wakiwa katika picha ya pamoja.
Sep 03, 2020
Mtaalam wa masula ya Saikolojia Justine Kavindi kutoka Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere akifafanua jambo kwa Washiriki wa mafunzo kutoka Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
Sep 03, 2020
Wataalam wa Saikolojia kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma Dkt. Pambas Basil, na Dkt. Florentina Nsolenzi na mwingine ni Afisa Utumishi Mkuu katika Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bi. Consolatha Bura.
Sep 03, 2020
Dkt. Bertha Losioki, kulia kwake ni Miraji Mgonja na mwingine ni Justine Kavindi ambao ni wataalam wa masuala ya Saikolojia katika Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere walipokuwa wakitoa mafunzo kwa Washiriki wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma.
Aug 27, 2020
Kulia ni SP Deus Sokoni akizungumza wakati kikao kazi baina ya Watendaji wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, Jeshi la Polisi nchini- Usalama Barabarani Makao Makuu pamoja na wadau kutoka Chuo cha Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) na kushoto kwake ni ASP Ibrahim Samwix akinukuu baadhi ya mambo waliyokubaliana.
Aug 27, 2020
Kushoto ni SP Deus Sokoni akiwa Maafisa wengine kutoka Jeshi la Polisi nchini wakinukuu baadhi ya mambo waliyokubaliana wakati kikao kazi baina ya Watendaji wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, Jeshi la Polisi nchini- Usalama Barabarani Makao Makuu na wadau kutoka Chuo cha Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA).
Aug 27, 2020
Naibu Katibu, Idara ya Udhibiti wa Ubora katika Sekretarieti ya Ajira, Bw. Humphrey Mniachi akiongea na baadhi ya wadau kutoka Jeshi la Polisi nchini- Usalama Barabarani Makao Makuu na Chuo cha Mafunzo Ufundi Stadi (VETA) hawapo pichani kulia kwake ni Afisa Rasilimaliwatu Bw. Ally Mnyimwa.
Aug 27, 2020
Kaimu Mkuu wa Chuo cha Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) Bi. Clara Kibodya akinukuu baadhi ya mambo waliyojadiliana katika kikao kazi baina ya Watendaji kutoka Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, Jeshi la Polisi nchini- Usalama Barabarani Makao Makuu na VETA.
Aug 27, 2020
Mkufunzi Mkuu wa masuala ya ufundi na Udereva kutoka Chuo cha Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) Bw. Kisembe Kapele akifafanua jambo wakati wa kikao kazi kilichohusisha wataalamu kutoka Jeshi la Polisi nchini-Usalama Barabarani Makao Makuu, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma pamoja na Wataalam wengine kutoka VETA.
Aug 19, 2020
Baadhi ya Wakuu wa Idara na Vitengo katika Sekretarieti ya Ajira wakibadilishana mawazo baada ya kikao, kulia ni Bw. Humphrey Mniachi, Bw. Lucas Mrumapili, Mhandisi Samwel Tanguye na Bi. Toni Mbilinyi.
Aug 19, 2020
Mkuu wa Kitengo cha Manunuzi na Ugavi Bi Nester Mbilinyi akitoa mafunzo ya mfumo wa TANePS kwa Wajumbe wa Menejimenti ya Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma.
Aug 19, 2020
Baadhi ya Maafisa Waandamizi katika Sekretarieti ya Ajira, kushoto ni Bw. Humphrey Mniachi, Mhandisi Samwel Tanguye na Bw. Innocent Bomani wakimsikiliza Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mipango hayuko pichani Bw. Godfrey Mchani.
Aug 14, 2020
Baadhi ya Wahitimu wa Ufundi Seremala wakiwa katika usaili wa vitendo VETA jijini Dar es Salaam.
Aug 14, 2020
Mmoja wa vijana wa ufundi VETA akifungua ili kukirekebisha kifaa cha gari wakati wa usaili wa vitendo.
Aug 07, 2020
Naibu Katibu, Idara ya Ajira katika Sekretarieti ya Ajira Bw. Lucas Mrumapili akitoa maelekezo ya jumla kwa Wasailiwa wakati wa usaili wa mchujo uliofanyika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Aug 07, 2020
Naibu Katibu, Idara ya Udhibiti wa Ubora katika Sekretarieti ya Ajira Bw. Humphrey Mniachi akipitia namba za Wasailiwa kabla ya kuzituma katika akaunti zao kwenye mfumo wa maombi ya kazi.
Jul 06, 2020
Mmoja wa Wasimamizi wa Usaili akiangalia Wasailiwa wakiendelea na Usaili (DUCE) kwa ajili ya Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (NAOT).
Jul 06, 2020
Mabegi ya Wasailiwa yakiwa mbele wenyewe wakiendelea na Usaili (DUCE) kwa ajili ya nafasi za kazi za Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (NAOT).
Jul 06, 2020
Baadhi ya Wasailiwa wa nafasi za kazi kwa ajili ya Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (NAOT) wakiendelea na Usaili (DUCE).
Jun 01, 2020
Katibu Mkuu, (OR-MUUB), Dkt. Laurian Ndumbaro akisaini kitabu cha wageni katika ofisi za Sekretarieti ya Ajira, Mazizini-Zanzibar.
Jun 01, 2020
Katibu Mkuu, (OR-MUUB), Dkt. Laurian Ndumbaro akiingia katika ofisi za Sekretarieti ya Ajira eneo la Mazizini-Zanzibar, nyuma yake ni Katibu wa Ofisi hiyo Bw. Xavier Daudi na Mkurugenzi wa Mipango na Rasilimaliwatu (OR-UUUB) Bw Khamis Juma.
Jun 01, 2020
Baadhi ya Watumishi wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, wakiwa nje ya ofisi hiyo eneo la Mazizini-Zanzibar.
Jun 01, 2020
Mkurugenzi wa Idara ya Mipango ya Rasilimaliwatu (OR-UUUB- Zanzibar Bw. Khamis Juma akitoa ufafanuzi kwa Makatibu Wakuu wakati wa makabidhiano ya ofisi za Sekretarieti ya Ajira, Mazizini- Zanzibar.
Jun 01, 2020
Katibu Mkuu, (OR-MUUB), Dkt. Laurian Ndumbaro akiongea wakati wa makabidhiano ya ofisi za Sekretarieti ya Ajira Mazizini- Zanzibar, kushoto ni Katibu Mkuu, (OR-UUUB), Bw. Yakout Hassan Yakout na Naibu Katibu (OR-UUUB).
Jun 01, 2020
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, Bw. Xavier Daudi akiwasilisha taarifa yake wakati wa makabidhiano ya ofisi za Sekretarieti ya Ajira, Mazizini- Zanzibar
Jun 01, 2020
Katibu Mkuu, (OR-MUUB), Dkt. Laurian Ndumbaro akiwa Katibu Mkuu, (OR-UUUB), Bw. Yakout Hassan Yakout pamoja na Viongozi na Watendaji wengine wakati wa makabidhiano ya ofisi za Sekretarieti ya Ajira, Mazizini-Zanzibar
Jun 01, 2020
Katibu Mkuu, (OR-UUUB), Bw. Yakout Hassan Yakout akisaini kitabu cha wageni katika ofisi za Sekretarieti ya Ajira, Mazizini-Zanzibar
May 22, 2020
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Bw. Xavier Daudi akitoa maelekezo kwa Wasimamizi wa Usaili (hawapo pichani) kuhusu masuala ya kuzingatia wakati wa usimamizi wa usaili mwingine ni Katibu Msaidizi Idara ya Ajira Bi. Khadija Isihaka.
May 22, 2020
Naibu Katibu Idara ya Udhibiti na Ubora katika Sekretarieti ya Ajira Bw. Humphrey Mniachi akitoa ufafanuzi kwa Wasimamizi wa Usaili (hawapo pichani) kuhusu usimamizi wa usaili mwingine ni Katibu Msaidizi Idara ya Ajira Bi. Khadija Isihaka.
May 22, 2020
Wasailiwa wakiendelea na usaili wa kuandika kwa ajili ya kujaza nafasi mbalimbali za kazi zilizotangazwa na Kibaha Education Centre kupitia Sekretarieti ya Ajira.
May 22, 2020
Baadhi ya Wasailiwa wakiendelea na usaili wa kuandika kwa ajili ya kujaza nafasi mbalimbali za kazi zilizotangazwa na Kibaha Education Centre kupitia Sekretarieti ya Ajira.
May 22, 2020
Maafisa Tawala wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kushoto ni Bw. Issa Paul na Bw. Mwita Werema wakiandaa rasimu ya tangazo la nafasi wazi za kazi.
May 22, 2020
Afisa Utumishi Mwandamizi katika Sekretarieti ya Ajira Bi. Judith Usangira akipata ufafanuzi wa masuala ya Watumishi kutoka kwa Afisa Utumishi Bw. Imani Kasagara.
May 22, 2020
Afisa Rasilimaliwatu Mkuu Bw. Innocent Bomani wa Sekretarieti ya Ajira akipitia nyaraka aliyopelekewa na Dereva Mwandamizi Bw. Christopher Ngazi aliyesimama kabla ya kuipitisha.
May 22, 2020
Watumishi wa Idara ya Utawala katika Sekretarieti ya Ajira wakipitia moja orodha ya vifaa vinavyohitajika kununuliwa kulia ni Bi. Neema Kivugo, Bw. Malatika Mbaga na Mlagwa Nyasebwa.
May 05, 2020
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, Bw. Xavier Daudi akiongoza jopo la usaili wa nafasi ya kazi ngazi ya Menejimenti kwa ajili ya UCSAF ambao umefanyika TAGLA jijini Dar es Salaam kwa njia ya "Video Conference".
May 05, 2020
Mmoja wa Wasailiwa wa nafasi ya kazi ngazi ya Menejimenti kwa ajili ya UCSAF akifanya usaili kwa njia ya "Video Conference" ambao umefanyika katika ofisi za TAGLA jijini Dar es Salaam.
May 05, 2020
Wajumbe wa jopo la usaili wa UCSAF wakimsikiliza mmoja wa Wasailiwa wa nafasi ya kazi ya Menejimenti hayupo pichani, ambapo usaili huo umefanyika katika ofisi za TAGLA kwa njia ya ''video conference''
Apr 16, 2020
Mwenyekiti wa Bodi ya Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bi Rose Lugembe akisisitiza jambo kwa Wajumbe katika moja ya vikao vya bodi hiyo.
Apr 16, 2020
Katibu wa wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, Bw. Xavier Daudi akiongea katika moja ya vikao vya Menejimenti na kushoto kwake ni Afisa Utumishi Mkuu katika ofisi hiyo Bw. Innocent Bomani akinukuu dondoo za kikao.
Apr 16, 2020
Katibu Msaidizi (Idara ya Ajira), Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Malimi Muya akiongea na Waandishi wa Habari, hawapo pichani kuhusu uendeshaji wa mchakato wa ajira serikalini.
Mar 10, 2020
Tuwaenzi mama zetu, dada zetu, hawa ni baadhi ya Wafanyakazi wa Sekretarieti ya Ajira wakiwa katika viwanja vya Leaders katika Siku ya Maadhimisho ya Wanawake Duniani.
Mar 10, 2020
Tuwaenzi mama zetu, dada zetu, hawa ni baadhi ya Wafanyakazi wa Sekretarieti ya Ajira wakiwa katika viwanja vya Leaders katika Siku ya Maadhimisho ya Wanawake Duniani.
Mar 10, 2020
Tuwaenzi Mama zetu na Dada zetu, pichani ni baadhi ya Wafanyakazi wa Sekretarieti ya Ajira wakiwa katika Viwanja vya Leaders katika Siku ya Maadhimisho ya Wanawake Duniani.
Mar 05, 2020
Katibu Msaidizi, Idara ya Ajira katika Sekretarieti ya Ajira Bw. Malimi Muya akitoa ufafanuzi kwa Waandishi wa Habari hawapo pichani waliotaka kufahamu maboresho yaliyofanyika katika uendeshaji wa mchakato wa ajira.
Mar 05, 2020
Naibu Katibu Idara ya Ajira katika Sekretarieti ya Ajira Bw. Lucas Mrumapili akiwasilisha taarifa ya usaili uliopita mbele ya Wajumbe hawako pichani, kushoto ni Katibu Msaidizi Bi Khadija Isihaka na Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu Bi. Victoria Fovo.
Feb 21, 2020
Mkuu wa Kitengo cha Ununuzi na Ugavi katika Sekretarieti ya Ajira Bw. Robert Makenge akiwasilisha mada ya namna bora ya kuagiza mahitaji ya ofisi kwa mujibu wa taratibu za Ununuzi wa Umma kwa Watumishi wa ofisi hiyo.
Jan 09, 2020
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, Bw. Xavier Daudi akielekeza jambo kwa Maafisa Waandamizi wa taasisi hiyo waliosisimama ambao ni Bw. Godfrey Mchani na Bw. Dunia Kanena.
Jan 09, 2020
Baadhi ya Maafisa Waandamizi katika Sekretarieti ya Ajira wakipitia taarifa ya Tathmini na Ufuatiliaji kabla ya kuiwasilisha kwenye kikao cha Menejimenti, kulia ni Bw. Dunia Kanena, Mussa Mselem na Godfrey Mchani.
Jan 09, 2020
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, Bw. Xavier Daudi akiwa na Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimaliwatu, Bi Victoria Fovo wakipitia moja ya nyaraka kabla ya kuanza kwa kikao cha Menejimenti.
Jan 02, 2020
Mwenyekiti wa Sekretarieti ya Ajira Bi Rose Lugembe akiteta jambo na Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Xavier Daudi wakati wa kikao kazi.
Jan 02, 2020
Baadhi ya Watendaji wa Sekretarieti ya Ajira wakiwa katika kikao cha Wajumbe wa Sekretarieti hio wakati wa kupitia matokeo ya usaili, kulia ni Bi Victoria Fovo, Bw. Lucas Mrumapili, Bi. Khadija Isihaka na Bw. Malatika Mbaga
Jan 02, 2020
Baadhi ya Watumishi wa Sekretarieti ya Ajira wakifuatilia mada ya namna bora ya matumizi ya vifaa vya TEHAMA wakati wa semina ya mafunzo kazini iliyokuwa ikitolewa na Afisa Tehama wa Taasisi hiyo Bw. Hemed Mkomwa hayupo pichani.
Jan 02, 2020
Baadhi ya Watumishi wa Sekretarieti ya Ajira wakimsikiliza Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Bw. Xavier Daudi katika semina iliyoandaliwa na ofisi hiyo kwa lengo la kujengeana uwezo ambapo mada mbalimbali ziliwasilishwa.
Jan 02, 2020
Katibu wa Mfuko wa kusaidiana (MKUSA) wa wanachama wa Sekretarieti ya Ajira, Mhandisi Samweli Tanguye akisoma ripoti ya mwaka kwa Wanachama wa mfuko huo (hawapo pichani) kulia kwake ni Mwenyekiti wa Mfuko Bi. Riziki Abraham.
Jan 02, 2020
Katibu wa Mfuko wa kusaidiana (MKUSA) wa wanachama wa Sekretarieti ya Ajira, Mhandisi Samweli Tanguye akisoma ripoti ya mwaka kwa Wanachama wa mfuko huo (hawapo pichani) kulia kwake ni Mwenyekiti wa Mfuko Bi. Riziki Abraham.
Jan 02, 2020
Baadhi ya Watumishi wa Sekretarieti ya Ajira wakimsikiliza Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Bw. Xavier Daudi katika semina iliyoandaliwa na ofisi hiyo kwa lengo la kujengeana uwezo ambapo mada mbalimbali ziliwasilishwa.
Jan 02, 2020
Baadhi ya Watumishi wa Sekretarieti ya Ajira wakifuatilia mada ya namna bora ya matumizi ya vifaa vya TEHAMA wakati wa semina ya mafunzo kazini iliyokuwa ikitolewa na Afisa Tehama wa Taasisi hiyo Bw. Hemed Mkomwa hayupo pichani.
Jan 02, 2020
Baadhi ya Watendaji wa Sekretarieti ya Ajira wakiwa katika kikao cha Wajumbe wa Sekretarieti hio wakati wa kupitia matokeo ya usaili, kulia ni Bi Victoria Fovo, Bw. Lucas Mrumapili, Bi. Khadija Isihaka na Bw. Malatika Mbaga
Jan 02, 2020
Mwenyekiti wa Sekretarieti ya Ajira Bi Rose Lugembe akiteta jambo na Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Xavier Daudi wakati wa kikao kazi.
Nov 18, 2019
Naibu Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Idara ya TEHAMA, Mhandisi Samweli Tanguye akitoa mafunzo ya Mfumo wa Ajira kwa baadhi ya Waajiri wa Sekta ya Umma.
Nov 18, 2019
Mwenyekiti wa Chama cha Shule Binafsi za Udereva Tanzania (CHASHUBATA) Bw. Jonas Bigaye akizungumza wakati wa kikao cha pamoja na watendaji wa Sekretarieti ya Ajira kilichofanyika katika katika ukumbi wa Sekretarieti ya Ajira kilicholenga kujadili namna ya kuboresha mafunzo yanayotolewa na vyuo hivyo.
Nov 18, 2019
Katibu Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira Bw. Xavier Daudi (aliyesimama) akifafanua jambo kwa ugeni kutoka Tume ya Utumishi wa Umma nchini Zimbabwe walipotembelea Ofisi za Sekretarieti ya Ajira.
Nov 18, 2019
Mhandisi Samweli Tanguye ambaye ni Naibu Katibu (TEHAMA) ,akitoa mada ya mabadiliko ya Mfumo wa uombaji kazi kwa wajumbe wa Tume ya Utumishi wa Umma chini Zimbabwe walipofanya ziara ya mafunzo nchini.
Nov 18, 2019
Wajumbe wa Bodi ya Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma katika moja ya kikao wakipitia majina ya waombaji Ajira Serikalini.
Nov 06, 2019
Naibu Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Idara ya Udhibiti na Ubora Bw. Humphrey Mniachi akisisitiza jambo wakati wa kikao cha pamoja na viongozi wa ngazi mbalimbali katika Chama cha Shule Binafsi za Udereva Tanzania (CHASHUBUTA), kilichofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Sekretarieti ya Ajira. Kushoto ni Bw. Ally Mnyimwa.
Aug 11, 2019
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Bw. Xavier Daudi akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), Dkt. Anold Kihaule (kulia na kushoto kwake) ni Naibu Katibu Idara ya TEHAMA katika Sekretarieti ya Ajira Mhandisi Samwel Tanguye.