MATOKEO YA USAILI WA VITENDO BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA (NECTA) ULIOFANYIKA TAREHE 20/05/2025

Wasailiwa wote waliochaguliwa kuendelea na hatua zinazofuata wanatakiwa kuzingatia muda na eneo la kufanyia usaili.

Wasailiwa wote wanakumbushwa kufika na vyeti vyao halisi (Original Certificates) pamoja na kitambulisho.