MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA AFISA MAENDELEO YA JAMII DARAJA II (COMMUNITY DEVELOPMENT OFFICER GRADE II)-MDAs & LGAs ULIOFANYIKA TAREHE 08-07-2023

Wasailiwa waliochaguliwa (SELECTED) kuendelea na usaili wanatakiwa kuzingatia muda na sehemu ya kufanyia usaili kama ilivyoainishwa kwenye tangazo la kuitwa kwenye usaili.

NB: (i) Kila msailiwa aliyechaguliwa kufanya usaili wa mahojiano anatakiwa kwenda kwenye Kanda ambayo alifanyia usaili wa Kuandika(Mchujo) na si vinginevyo.

(ii) Msailiwa ambaye ataenda kwenye Kanda ambayo hakufanya usaili wa Kuandika(Mchujo) hatoruhusiwa kufanya usaili huo.

  • Wasailiwa wote wanatakiwa kufika wakiwa wamevaa Barakoa (MASK)
  • Wasailiwa wote wanakumbushwa kufika na vyeti vyao halisi (Original Certificates)
  • Wasailiwa wote wanatakiwa kufika na vitambulisho vyao