MABADILIKO YA TAREHE NA ENEO LA USAILI WA VITENDO MAMLAKA YA MAABARA YA MKEMIA MKUU WA SERIKALI

Waombaji kazi wote walioitwa kwenye usaili wa Vitendo wa Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA) mnajulishwa kuwa kuna mabadiliko ya tarehe na mahali pa kufanyia usaili wa vitendo.