MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ULIOFANYIKA TAREHE 25/05/2025

Wasailiwa wote waliochaguliwa kuendelea na usaili wanatakiwa kuzingatia muda na eneo la kufanyia usaili.

Wasailiwa wote wanakumbushwa kufika na vyeti vyao halisi (Original Certificates) pamoja na kitambulisho.