MABADILIKO YA ENEO LA KUFANYIA USAILI MKOA WA SHINYANGA

Waombaji kazi wote wa Kada za ualimu walioitwa kwenye usaili Mkoa wa Shinyanga mnajulishwa kuwa kuna mabadiliko ya mahali pa kufanyia usaili wa kuandika pamoja na usaili wa mahojiano