MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KWA KADA ZA MOI, ORCI & IAA

Wasailiwa waliochaguliwa (SELECTED) kuendelea na usaili wanatakiwa kuzingatia muda na sehemu ya kufanyia usaili kama ilivyoainishwa kwenye tangazo la kuitwa kwenye usaili.

MUHIMU: Wasailiwa wote waliochaguliwa kuendelea na usaili kwa kada za MOI,  wanajulishwa kuwa usaili wao utafanyika katika ofisi zilizopo kwenye viwanja vya maeonesho Sabasaba zilizopo Kilwa Road-Dar es Salaam

Wasailiwa wote wanatakiwa kufika wakiwa wamevaa Barakoa (MASK)
Wasailiwa wote wanakumbushwa kufika na vyeti vyao halisi (Original Certificates)
Wasailiwa wote wanatakiwa kufika na vitambulisho vyao