MABADILIKO YA MAHALI PA USAILI WA MAHOJIANO KADA ZA TEHAMA OFISI YA TAIFA YA UKAGUZI (NAOT)

Waombaji kazi wa kada zilizotajwa kwenye tangazo hili mnajulishwa kuwa usaili wa mahojiano utafanyika kwenye ofisi za Sekretarieti ya Ajira (PSRS) Dar es salaam.