TANGAZO LA MABADILIKO YA TAREHE ZA USAILI KWA WAOMBAJI KAZI WA NAFASI ZA TAASISI YA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE (MNMA)

KATIBU WA SEKRETARIETI YA AJIRA ANAPENDA KUWATANGAZIA WAOMBAJI KAZI WOTE WALIOITWA KWENYE USAILI WA TAASISI YA MWALIMU NYERERE (MNMA) KUPITIA TANGAZO LA TAREHE 31 DESEMBA, 2020 KUWA TAREHE ZA USAILI ZIMEBADILIKA KUTOKANA NA UPATIKANAJI WA KUMBI ZA KUFANYIA USAILI HUO. HIVYO MABADILIKO YA TAREHE ZA USAILI HUO NA KUMBI NI KAMA ZILIVYOAINISHWA HAPA CHINI.

 

KADA YA PLANNING OFFICER II NA ICT PROGRAMMER

 

  1. TAREHE ZA USAILI WA MCHUJO NI 09 JANUARI, 2021- TAASISI YA MWALIMU NYERERE,
  2. USAILI WA VITENDO TAREHE 10 JANUARI, 2021CHUO CHA MAFUNZO YA TEHAMA ICT- (CO-ICT) – KIJITONYAMA DAR ES SALAAM
  3. NA USAILI WA MAHOJIANO UTAFANYIKA TAREHE 11 JANUARI, 2021 TAASISI YA MWALIMU NYERERE BADALA YA ILIVYOELEKEZWA KATIKA TANGAZO LA AWALI.  

 

TUNAOMBA RADHI KWA USUMBUFU WOWOTE UTAKAOWEZA KUJITOKEZA BAADA YA KUTOLEWA KWA TAARIFA HIYO.