|
MATOKEO YA USAILI WA CMHUJO ULIOFANYIKA CHUO CHA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE-25-05-2013 |
|
|
|
|
Wasailiwa waliochaguliwa kuendelea na usaili kwa Kada ya Internal Auditor II (NAO) wanatakiwa kufika katika chuo cha uhasibu (Tanzania Institute of Accountancy-TIA) tarehe 27-05-2013 saa moja na nusu asubuhi, kwa ajili ya usaili wa vitendo (PRACTICAL)
Wasailiwa waliochaguliwa kuendea na usaili kwa kada ya Computer Systems Analyst-(e-GA) wanatakiwa kufika katika ofisi za Sekretarieti ya Ajira (Maktaba kuu ya Taifa) tarehe 27-05-2013 saa moja na nusu asubuhi, kwa ajili ya usaili wa ana kwa ana Wasailiwa waliochaguliwa kuendelea na usaili kwa kada ya Chemical Laboratory Technologist-(GCLA) wanatakiwa kufika katika ofisi za GCLA tarehe 27-05-2013 saa moja na nusu asubuhi kwa ajili ya usaili wa ana kwa ana. |
|
|
|